Simba sports club yarejea kileleni kwa tofauti ya pointi mbili ikiwa imetangulia mechi moja baada ya kuifunga timu ya Tanzania prisons ya Mbeya goli tatu kwa bila kupitia kwa Juma Luizio,Ibrahim Ajib na Laudit Mavugo.
Kwa idadi hiyo ya magoli kwa Wajela jela hao wa Mbeya ni salamu tosha kwa wapinzani wao watoto wa Jangwani 'wa kimataifa' watakapokutana tarehe 25.02.2017.Ambapo Yanga wapo Comoro kwaajili ya mechi ya kimataifa club bingwa Afrika dhidi ya timu ya Ngaya fc ya nchini humo.
MillionaireAds
Saturday, February 11, 2017
SIMBA YATUMA SALAMU JANGWANI
Tags
Artikel Terkait
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
EmoticonEmoticon