Mchezaji wa kimataifa Mbwana Samata anayeichezea timu ya KRC GENK ya Ubelgiji amerejea vema uwanjani baada ya kuifungia timu yake bao la pili kwa kichwa, na kuifanya timu hiyo kuibuka na ushindi wa magoli matatu kwa bila dhidi ya St. Truiden. Akimalizia krosi iliyopigwa na Alejandro Pozuelo,pia goli la kwanza likifungwa Aljandro Pozuelo akipewa assist na Siebe Schrijvers na bao la mwisho likifungwa mnamo dakika ya 45 na Ruslan Malinovsky.
MillionaireAds
Friday, February 10, 2017
SAMATA AREJEA UWANJANI NA KUIPA TIMU YAKE ZAWADI YA GOLI
Tags
Artikel Terkait
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
EmoticonEmoticon