Millionaire  Ads

Friday, February 10, 2017

SAMATA AREJEA UWANJANI NA KUIPA TIMU YAKE ZAWADI YA GOLI

Tags

Mchezaji wa kimataifa Mbwana Samata anayeichezea timu ya KRC GENK ya Ubelgiji amerejea vema uwanjani baada ya kuifungia timu yake bao la pili kwa kichwa, na kuifanya timu hiyo kuibuka na ushindi wa magoli matatu kwa bila dhidi ya St. Truiden. Akimalizia krosi iliyopigwa na Alejandro Pozuelo,pia goli la kwanza likifungwa Aljandro Pozuelo akipewa assist na Siebe Schrijvers na bao la mwisho likifungwa mnamo dakika ya 45 na Ruslan Malinovsky.


EmoticonEmoticon