Millionaire  Ads

Saturday, February 11, 2017

SAFU YA USHAMBULIAJI YA SIMBA SC NI MOTO WA KUOTEA MBALI

Tags


Muunganiko wa safu ya ushambuliaji ya simba sc wazidi kuimalika, baada ya matokeo ya mechi ya jana iliyochezwa uwanja wa taifa Dar es salaam kuibuka na ushindi wa magoli matatu bila kuruhusu nyavu zao kutikiswa na wapinzani wao Tanzania Prisons ya jijini Mbeya.
Muunganiko wa Laudit Mavugo na Ibrahim Ajibu wazidi kuimarika mara baada ya kupeana pasi za mwisho katika ufungaji wa magoli, ambapo Mavugo alitoa asist ya goli la pili kwa Ibrahim Ajibu kipindi cha kwanza dakika ya 28. Kipindi cha pili Ajibu naye alipiga krosi iliyozaa goli la tatu kwa simba likifungwa kwa kichwa na Mavugo na kuhitimisha idadi ya magoli matatu kwa bila.


EmoticonEmoticon