Mchezaji wa zamani wa Yanga na Taifa Stars afariki dunia ni baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Kiungo wa zamani wa klabu ya Yanga na timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ amefariki dunia alhamisi hii huko nyumbani kwao Mbeya.
Wakati akicheza soka, Bonny aliwahi kuvitumikia vilabu vya Tanzania Prisons na Yanga kwa vipindi tofauti pamoja na timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’.
EmoticonEmoticon