Millionaire  Ads

Friday, February 17, 2017

MCHEZAJI WA ZAMANI WA YANGA SC NA TIMU YA TAIFA AFARIKI DUNIA

Tags

Mchezaji wa zamani wa Yanga na Taifa Stars afariki dunia ni baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Kiungo wa zamani wa klabu ya Yanga na timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ amefariki dunia alhamisi hii huko nyumbani kwao Mbeya.

Mchezaji huyo alikuwa amelazwa kwa muda mrefu hospitali ya Rungwe-Tukuyu Mbeya alikokuwa akipatiwa matibabu.

Wakati akicheza soka, Bonny aliwahi kuvitumikia vilabu vya Tanzania Prisons na Yanga kwa vipindi tofauti pamoja na timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’.


EmoticonEmoticon