Simba wamesonga hatua ya nane bora kombe la shirikisho maarufu kama Azam Federation baada ya kuifunga African Lyoni bao moja kwa bila.
Goli hilo lililoisogeza simba hatua ya nane bora limefungwa na Laudit Mavugo akipewa asist na Ibrahim Ajib dakika 57 kipindi cha pili.
EmoticonEmoticon