Millionaire  Ads

Thursday, February 16, 2017

SIMBA SC YASONGA HATUA YA NANE BORA KOMBE LA FA

Tags


Simba wamesonga hatua ya nane bora kombe la shirikisho maarufu kama Azam Federation baada ya kuifunga African Lyoni bao moja kwa bila.
Goli hilo lililoisogeza simba hatua ya nane bora limefungwa na Laudit Mavugo akipewa asist na Ibrahim Ajib dakika 57 kipindi cha pili.


EmoticonEmoticon